CHARLES MAKONGORO NYERERE ATOA SHUKRANI KWA WADAU MBALIMBALI WALIOJUMUIKA NA FAMILIA YA MAMA NYERERE KATIKA MSIBA WA JNDUU JON NYERERE


"Asanteni sana wote mliokuja kutufariji kama familia na wale mnaoendelea
kujaasanteni sana. Mwili wa marehemu John Nyerere, umeishawasili
nyumbani Msasani , heshima za mwisho zinaendelea kutolewa kwa mjibu wa
ratiba. Hatuna cha kuwalipa wote kwa kutufariji hata kwa ujumbe, mungu
awabariki sana."
No comments