Watangaza nia kuwania kiti cha Ubunge kilichoachwa na Marehemu Deo Filikunjombe waendelea kuchukua fomu akiwemo mdogowake marehemu na Msanii Masanja Mkandamizaji
MSANII
maarufu na mwigizaji Emmanuel Mgaya maarufu kwa jina la (Masanja
mkandamizaji) ameahidi kuvaa viatu vya Deo H. Filikunjombe kwa kuwaletea
maendeleo wananchi wa jimbo la Ludewa na kusema ana uwezo mkubwa na
kasi kama ya marehemu Filikunjombe ambaye alikuwa rafiki yake.


No comments