PENZI LA NUHU MZIWANDA NA SHILOLE (SHISHI BABY) LAFIKA PABAYA, MADONGO WAZIWAZI, WAITANA ASHANGEDERE

Hii ni picha ya msanii aliyekuwa katika penzi zito na mwanadada Shishi. Baada ya kunogewa na pezni la mwanadada huyo machachali jukwaani akadata na kujichora tatoo ya mpenzi wake, sasa picha limeanza, wakesha wakiandikana kwenye mitandao ya kijamii, sijui sasa tatoo nayo itafutwa au la.

Post Comment