Habari mpya

JE, UNAWAKUMBUKA HAWA JAMAA, NI MA SUPER NYOTA MKOA WA MOROGORO FIESTA 2013


Kulia (anayeongea kwenye simu) ni Rama wa Kitaa na kushoto mwenye tabasamu kali ni Hamis K, msanii mwenye ngoma kazaa kali zinazobamba kwenye radio stations na television mbalimbali. Ukizungumzia ngoma ya Kombolela basi utakuwa hujamsahau Hamis K.

No comments