Habari mpya

CHELSEA YAIVURUGA LIVERPOOL MABAO 2 KWA NUNGE NA KUWAFANYA KUWA WAPILI KUTOKA KILELENI KATIKA LIGI YA UINGEREZA KWA POINTI 78


Baada ya kujishindia mechi hiyo kwa kishindo, Chelsea wako wapili kutoka kileleni kwa kujikusanyia pointi 78 ikitanguliwa na Liverpool ikiwa na pointi 80 na kuwafanya kuwa vinara katika ligi hiyo. Mabao ya Chelsea yametiwa nyavuni na mshambuliaji machachari kabisa Demba Ba and Willian. Manchester City ipo katika nafasi ya 3 ikiwa na pointi 74, huku Arsenal wakiendelea kuwa katika nafasi ya 4 wakiwa na pointi 70 kibindoni. Everton katika nafasi ya 5 wakiwa na pointi 69 mkononi.

No comments