Habari mpya

Castle Lite Unlocks Vanessa Mdee atapanda jukwaa moja na Cassper Nyovest, Diamond na Future trh 22/Julai/2017


Meneja Masoko wa Bia laini Afrika Mashariki, Amou Majok (kushoto) akiwa pamoja naVanessa Mdee juzi jijini Dar, wakati Meneja huyo akitangaza kuhusu msanii huyo kushiriki katika tamasha la Castle Lite Unlocks litakalofanyika mwezi Julai. Kulia ni Meneja Msaidizi wa Chapa ya Bia laini, Isaria Kilewo.
Vanessa Mdee  akizungumza jambo  Meneja Msaidizi wa Chapa ya Bia laini, Isaria Kilewo mapemamwishoni wa wiki iliyopita jijini Dar wa kutangaza kuhusu msanii huyo kushiriki katika tamasha la Castle Lite Unlocks litakalofanyika mwezi Julai. 

Vanesa Mdee  akikata keki 


Vanessa Mdee akifurahi jambo wakati wa kutangazwa kuungana na wasanii wengine katika tamasha la Castle Lite Unlocks litakalofanyika mwezi Julai.

No comments