Habari mpya

Matokeo: HAYA HAPA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2016/2017

1.jpg

Baraza la Mitihani la Taifa limetangaza matokeo ya kumaliza elimu ya msingi (PSLE) ambayo yameonyesha ongezeko la ufaulu kwa asilimia 2.

Akitangaza matokeo hayo leo (Alhamisi), Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema jumla wa watahiniwa 555,291 kati ya 789,479 waliofanya mtihani huo wamefaulu.
 
Amesema idadi hiyo ni sawa na asilimia 70.3 ya ufaulu tofauti na ufaulu wa mwaka jana ambao ulikuwa ni asilimia 67.8

"Hivyo kuna ongezeko la ufaulu kwa asilimia 2.52," amesema Dk Msonde.

Shule iliyoongoza kitaifa ni shule ya Msingi Kwema ya mkoani Shinyanga.

Tembelea Hapa=> Link ya Kwanza

Tembelea Hapa=> Link ya Pili

No comments